Workshop

Yaliyojiri katika warsha ya wafanyabiashara wa mbao/magogo wa uwanda wa Selous-Ruvuma, tarehe 19 Februari 2016; katika hoteli ya Double M, Lindi mjini

Jumuiko la Maliasili Tanzania (Tanzania Natural Resource Forum-TNRF) pamoja na washirika wake; Shirika la Kuhifadhi Mpingo na Maendeleo-MCDI, Mtandao wa Jamii wa Usiamizi wa Misitu Tanzania-MJUMITA na Shirika la WWF Tanzania, liliandaa warsha ya siku moja ya wafanyabiashara wa mbao/magogo wa uwanda wa Selous-Ruvuma iliyofanyika siku ya Ijumaa tarehe 19 Februari 2016, Lindi Mjini. Katika uwanda huu wa Selous-Ruvuma, Shirika la WWF Tanzania linafanya kazi na washirika wake (MCDI na MJUMITA) ili kueneza shughuli za Usimamizi Shirikishi wa Misitu (USM).  Warsha hii ya wafanyabiashara iliandaliwa ili kuongeza nguvu katika jitihada hizi kwa kuimarisha mijadala na wafanyabiashara wa mbao/magogo juu ya mambo muhimu yanayosibu biashara ya mazao ya misitu.

Warsha ilikuwa na malengo makubwa mawili: (1) kuwasilisha kwa wafanyabiasha fursa zilizopo za kufanya uvunaji katika misitu ya hifadhi za vijiji (ikilinganishwa na uvunaji katika misitu ya wazi), na (2) kutoa ufafanuzi wa mambo ya kitaalam yahusuyo upimaji na ukadiriaji wa ujazo wa mbao/magogo.

Washiriki wa warsha walikuwa kwenye makundi yafuatayo:

  • Wawakilishi wa wafanyabiashara ya mbao na magogo kutoka uwanda wa Selous-Ruvuma (Kilwa, Liwale, Ruangwa, Rufiji, Nachingwea, Tunduru, Lindi, Masasi)
  • Wawakilishi wa Mamlaka husika za Serikali (Mf. Wakala wa Misitu Tanzania, Idara ya Misitu na Nyuki, TRA)
  • Wawakilishi wa Vijiji vyenye misitu ya hifadhi ((Kilwa, Liwale, Ruangwa, Rufiji, Nachingwea, Tunduru, Lindi, Masasi)
  • Taasisi za Kiraia na Miradi (Jumuiko la Maliasili Tanzania, Kampeni ya Mama Misitu, Shirika la Kuhifadhi Mpingo na Maendeleo, MJUMITA, WWF Tanzania
When: 
19 February 2016 - 4:00pm
Location: 
Double M Hotel Lindi , Lindi
Tanzania
Lindi TZ

THE MAMA MISITU TV CAMPAIGN - LAUNCHED SUCCESSFULLY

The Mama Misitu Campaign launched a TV campaign on MJUMITA sustainable charcoal value chain on Friday, 11th September at the New African Hotel from 10.30am. The programs/episodes which have been produced in Kilosa district, Morogoro region is part of the concerted efforts made by MJUMITA & TFCG to transform and formalize the charcoal sector from problem to opportunity.

When: 
11 September 2015 - 10:30am
Location: 
New African Hotel Dar es Salaam
Tanzania
Dar es Salaam TZ

TNRF Strategic Planning Session (Part 1)

The TNRF Board and Secretariat will convene for the first part of a strategic planning session related to the RAPID Outcome Mapping Approach (ROMA) "to creating strategies for evidence-based policy influencing."

For more information please contact info@tnrf.org.

When: 
20 May 2010 - 4:00am to 21 May 2010 - 1:00pm

Consultative Strategic Meeting to Develop Methods to Mitigate HEC in Tanzania

Tanzania Wildlife Working Group (housed by TNRF) and WSPA are holding an innovative one-day workshop that will bring together representatives from various institutions practitioners, managers, academicians and researchers working in Human Elephant Conflict (HEC) and HEC related issues within Tanzania.

For more information please contact Enock Chengullah, the Wildlife Programme Officer at e.chengullah@tnrf.org.

When: 
20 April 2010 - 6:00am to 1:00pm

Pages

Subscribe to RSS - Workshop